This song is an acknowledgement that Only God has the power and Ability to Raise us all and put us in all the positions we desire to be in our lives. It is a deliberate show of our desperation and dependency on God alone. Whatever we have, whoever we are, we all NEED HIM.
I composed this song way back when I we going through a hard time and am glad God heard me and raised me. Am forever grateful.
Lyrics
Verse 1.
Nasongea miguuni pako; Mimi mnyonge,mdhaifu;
Una nguvu za kuinua moyo wangu...
Nimejaribu kwa nguvu zangu,kwa Elimu yangu, ujanja wangu;
Nimeshindwa nimekuja kwako Mungu mwenye nguvu
Maana wewe nguvu yangu, uwezo wangu,ushindi wangu
Unishike uyafute machozi yangu.
Maana ni wewe
Chorus
Ni wewe mwenye nguvu, za kuinua moyo wangu
ili mimi nizungumze nawe.
Tena ni wewe mwenye uwezo wa kuinua maisha yangu
ili mimi niishi nawe.
Ni wewe mwenye nguvu za kuinua moyo wangu
ili mimi nizungumze nawe
Tena ni wewe mwenye uwezo wa kuinia maisha yangu
Ili mimi niishi nawe.
Verse 2
Nimejaribu wanadamu baba
Wanadamu wana shida zao, pia nao,wanakuhitaji wewe
Nimejaribu dunia yote
Dunia nayo baba inashida zake,inakuhitaji wewe
Ni wewe tu msaada wangu Yesu
Ndio maana naja kwako
Unajulikana simba wa Yuda mtetezi wangu
Bendera ya ushindi wangu nakuamini ...
Chorus
Ni wewe mwenye nguvu zakuinua moyo wangu
ili mimi nizungumze na wewe
Tena ni wewe mwenye uwezo wakuinua maisha yangu
ili mimi niishi nawe
Ni wewe mwenye nguvu za kuinua moyo wangu
ili mimi nizungumze nawe
Tena ni wewe mwenye uwezo wa kuinua maisha yangu
Ili mimi niishi nawe
Ili mimi niishi nawe
Ili mimi niishi nawe
GOD BLESS YOU.
Burton King
Category
Show more
Comments - 113
Related videos for Burton King - Mwenye Nguvu (Official Video) SMS Skiza to 811 for Skiza Tune: