Karibu katika makala maalum inayoandaliwa na wizara ya mifugo na uvuvi ili kukufahamisha majukumu, mafanikio, mikakati na fursa mbalimbali zilizopo kupitia wizara hii na taasisi zilizo chini yake, pamoja na kukuelimisha wewe mwananchi namna unavyoweza kujikwamua kiuchumi kupitia sekta za mifugo na uvuvi.
Katika makala hii utafahamu majukumu ya maabara ya taifa ya uvuvi iliyopo Kata ya Nyegezi Wilaya ya Nyamagana Mkoani Mwanza.
Category
Show more
Comments - 1
Related videos for MAKALA : UMUHIMU WA MAJUKUMU YA MAABARA YA TAIFA YA UVUVI: