Diamond Platnumz Aweka Rekodi Mpya Africa Subscribers Wengi Zaidi Youtube #diamondplatnumz amefikisha Subscribers million 6 kwenye Chanel yake ya mtandao wa Youtube ,Boss huyo wa #wasafi asafi na #wasafimedia Anakuwa msanii wa Kwanza Kwa Nchi za Sub Sahara ikiwemo Nigeria mwenye Subscribers wengi zaidi,Tazama Hapa #grammedia
Kwa sasa Diamond anatamba na Wimbo wa #unachezaje