Please subscribe now on Our YouTube channel To be the first to hear about the latest news and updates on Time.
#middlesimba
#WeAreEverywhere
#hamisi
#Bongostarsearch
@christophermlaponi5345 years agoKumwambia mtu ukweli ndiyo dawa ya kumsaidia kuliko kumpet pet kihuruma huruma nk. lakini pia sisi watazamaji ni vema tukaelewa lengo la mashindano sasa hebu tuwe wakweli, hivi kwa hao walio bakia hapo ndani ni nani anafanana na khamis kwa uimbaji, uwezo wa sauti na hata stage performance? hao ni wakali kuliko khamis. Hivyo kwa wanao sema hawataangalia bss tena ni sawa, ila kumbukeni pia hata hao walio bakia pia wana mashabiki wao, so watazamaji wataendelea kuwepo kibao tu! khamis keep it up, maisha yanaendelea! Tutajua wewe haukuwa mshindani kama hautajaribu tena bss ijayo, na wakati huo hapa kati kabla ya hiyo bss ijayo kama ukiwa makini utaweza kufanya vitu vingi vikubwa. Kumbuka wewe bado ni kijana mdogo, hivyo bado una fursa kibao hata kama ni nje ya muziki. Hivyo tutakushangaa sana ukiendelea kukaa kaa tu nyumbani pasipo shughuli yoyote kama yalivyo kuwa maelezo yako wakati ulipo ingia katika mashindano haya! ila mwisho, usiungane kabisa na wale wanao wasema majaji vibaya, ni vema ukawa na moyo wa shukurani, kwani unatoka bss tofauti kabisa na jinsi ulivyo ingia, hivyo waheshimu hao watu pia!. ...Expand
@
@Radga235 years agoThe issue hapa ni unprofessional judging! Its true hamis is a good authentic upcoming singer. He is not perfect yet but kwa kufundishwa atakuwa mkali s tatizo hapa ni judging, hivi ni kwanini majaji wasiangalie mapungufu katika sauti muonekano na kuwashauri washiriki nini cha kufanya kuboresha? Inawapunguzia nini? Why should they keep discouraging participants instead of motivate them? Kwanini wasiwaoneshe makosa kitaalamu na kuwashauri nini cha kufanya? Why they keep bullying a young talented poor guy like hamis badala yakumfanya awe bora? Hapa ndiyo nawaila hawa majaji ( i lost even the word to say but they areplease learn from others your are unpalatable for sure. ...Expand1
@shabandamas17595 years agoMaster j unafel wap ndugu yangu mbona unashindwa kuwa mbunifu nani aliesema kuwa bongo star search, mtu kuwa star mpaka aimbe nyimbo za kufokafoka au mapenzi. ...Expand1
@
@janetkemush37845 years agoSijui kama ntawatchyou hamisi sana mdogo wangu una kipaji. 1
@
@kawesijoseph42095 years agoMumechukua muda mwingi sana kutafuta njia ya kumuonda hamisi lkn sio fair bora munge muondoa mwanzo kuliko kusafiri nae mara mumutoa mara mumurudishe sasa. ...Expand21
@
@zaibonge78675 years agoNa dully amempa heshima hamis maana hajamuita pamoja na wale waliotoka. Big up hamis umevunja record ya bbs toka ianze. Ww ndo mshiriki uliependwa zaidi. 56
@
@christinammassy15505 years agoJamanii, hamis, utabaki kuwa hamis, hakuna kama wewee. Nimeambiwa tu unaweza, tunahitaji uwepo wako. Hope shabiki zako tutaendelea kukuona tena coz tunakuombea mema zaidi ktk muziki. 5
@
@asiakibonge46995 years agoHamisi amejitahidi sana ila asikate tamaa. 13
@
@ayeshiiddi82745 years agoNampenda hamisi ila alivyotoka nimefurahi mana chuki ni mwanzo wa mikosi m2 unamchukia mtt wa mwenzio kama nn na ungeimba ndombolo kabisa ili akutoe kwa kujigamba. 15
@
@dauchiushi34815 years agoPole sana mdogo wng hamisi mungu bado yuko nawe na ninaimani atakutangulia na kila jambo. 3
@
@ashingulemmambale76255 years agoIlionyesha toka mwanzo hamumpendi ndio maana nae kasema atafurahi sana kusikia ametoka. Bss sio mwisho wa maisha kapambane utatoboa mwanangu hamis. 2
@
@minazsaid24705 years agoAnaimba with feeling ila master j sio mtu mzuri hajampenda huyu kijana tokea mwanzo. 63
@
@jullylawrance1435 years agoMaster j kumamako nakuchukia we baba ndio maan umezeeka mkundu. 5
@
@estamelejomah5725 years agoUsichoke hamisi usikate tamaa munguyupo tu anaona kilio chako. 5
@
@mossesimessi32565 years agoAsante master j uyu hamis ana saut tu kuimba awez jaman akuna uruma apo kalime tu hamis.
@
@baranmohamedmbashir52995 years agoKwa uwezo mola inshallah utafika mbali sana inshaallah hamsi.
@
@aaa64sa135 years agoMiddle Simba ni wasanii gani wanaoelekea kigoma coz naskia list imekuwa kubwa. We sasa macho na maskio Kigoma tu.Ni siku zilo bakia. Tukutane Kigoma Utaangalia ss vile utafika. 31 12 19 4life .....Expand4
@
@nsrnsr58384 years agoWananchi hawana shida kazi kwako kaka maadm rita hongera sana dully mungu akupe moyo waimn uendelee hivyo hongera sana kwakuonyesha upendo wako.
@
@abedkarume90885 years agoMaster j hatumi kaulimaskini kijana wawatu. Mungu atamsimamia kufeli bss sio kufeli kwa maisha.
@
@majudadykid52815 years agoAkipanga uwez pangua khamis god bless broo utafikaga2 usife moyo.
@
@barakagadiel74555 years agoHamisi nakukubali sana dogo langu hata mm nimependa ulivyo toka maana naamin mwakani usijali mkali wangu ukijipanga vizury unapenya bila kibinganishi chochote asante. 4
@
@ahdahmed83835 years agoMasikin. Amisi anaimba vizurinauma sana. 2
@
@johnsonlenas82275 years agoNamuona hamisi akiwa msanii mkubwa na maarufu kuliko mshindi wa bongo star search wa awamu hii! 83
@nsrnsr58384 years agoUmeliza hamis mungu atakupigania inshaallah master j mungu anakuona wallah maneno mazito mno mtoe tu lakin daa nimemumia sana duu inauma mno jamn maneno gani haya jamn e mungu wangu.
@
@treshofficial54835 years agoMaster j punguza iyo roho jaman em vaa via2 vya wazaz wa hamisi imagine ndo wewe uone mwanao anasakamwa ivyo looh ata kama ajui kuimba m2 usijivunie cheo. ...Expand5
@
@zupdee69965 years agoHamis music co bss tu, kwa sasa una fan bas wengi sana so waweza fany chchote ili ufke mbali zaidi, will tell. 4
@
@abuukilopo54405 years agoNenda mdogo wangu mungu atakuona tu utafika mbali.
@
@zwinsalhabsu2645 years agoMaster mungu akulaani kwa kumtoa hamisi.
@
@baranmohamedmbashir52995 years agoHamsi mungu ataleta kheri yake inshallah kwako. 2
@
@mtebebroscar7294 years agoUkitaka kujua kumbuka ile ya konde boy pia alikatwa upepo na huyo mshenzi leo yuko wapi! Hongera sana hamida.
@
@mussajackson7835 years agoNaona sawa tu mana jamaa kuna sehem nyingi kabebwa.
@
@shizotz42735 years agoHahahaa majaj makuma washa mpanga mshindi wao makuma hao. 1
@
@diamondplatnumz61555 years agoUyu mastar j nimshenzi yeye ampendia khamisi lakini khamisi mungu yukopamojanae akikaatakua mtumkubwa sana inshaallah. 1
@
@roberthsagudasagudantobi96465 years agoI like this guy, you look have something in your mind life.
@
@bintialfan21435 years ago' #39; nitafurahi sana kama nitaambiwa hamisinever gve up hamisi mola yupamoja nawe ipo cku utatimiza malengo yako. 21
@
@abdulrazaqthomas90515 years agoMm nashindwa kuelewa masikin yamungu khamis alimfanyia nn master j mpaka kumchukia? 1
@
@halimasssomar87935 years agoAfadhali wame mtoa kila siku kumsimanga tu. Hamisi riziki popote. Muimu juudi tu. 56
@
@saudaclaris70955 years agoHamisi gitaa unajua kwa kweli kuimba sio sana vile. 2
@
@florencekaranja87365 years agoHamisi nilikupenda lakini kusema ukweli hii mashidano ni kali sana kuna meshack, na wengine hapa wakali kukuliko so all the best dont give up. Team kenyan in doha. 7
@
@shivobs44855 years agoNimzfurah sana hamis mlivyo mtoa hajui ni huruma tu na kama angeshinda ningeumia sana.
@
@BontamLee5 years agoJamaa ana roho mbaya sana, wapo masharopua" 3
@
@sombimussa14765 years agoEty apa cio sehemu ya kuonea huruma? Mhh loo mastar j mungu anakuona.
@
@mtebebroscar7294 years agoJamaa kujitahidi sana akiacha na hongo star search atatoka tu.
@
@shabanimkuyu28275 years agoAsihofu mungu atamsaidia, ila asikate tamaa. 6
@
@Daphne3625 years agoMaster j anakatisha tamaa sana, vile alivyo mufanyia harmonize, kisa kaimba maraika badala ya malaika. Sasa harmonize ni big star. Ila hamis yupo jusikate tamaa. 20
@
@musamkali7715 years agoUyu hamis wamemuonea tu walio mtoa hamis wamelaaniwa yaani wanaroho mbaya sana dah. 3
@
@jacksonadriano87385 years agoNamuona hamisi akiwa star mkubwa sana kuliko wote hao. 3
@
@ashanduwimana93915 years agoAmiis usikati tama kesho utakuwa kama amonaise nawata shanga kisioyo rizki akiliki ilakaza buti ira naumiya kwer. 5
@
@elijahm.muthini5 years agoHio ndio shinda ya waafrica, wanachukiana mbure tu, lkin mungu atakusaidia, huyu rasterman is not a professional judge very poor. 12
@
@barakaalmas33995 years agoKwanzia leo hamtaniona tena nafatilia kipindi hiki nimetumia mb zangu kwajili ya hamis. 7
@
@sekelamwangosi32895 years agoIzo ooh sasa nmeamin hamis nyimbo zingine hawez.
@
@sholarfabian7755 years agoHamis wala usijali mdogo wangu mungu hawez kukuacha nakuombea ipo siku utakua staa mkubwa hadi master j akushangae binafsi nmeumia mno. 1
@
@ibrahim10chimah645 years agoNimepga kura sana ila sito angalia huu upuzi tena, 1
@
@mavumbimavumbi49055 years agoUnajuwa kuimba fanya mpango ututolee ngoma kali kabla ya bss kuisha. 4
@
@zubedaibrahim24885 years agoAmis nakukubal sana umejitahidi sana mungu yupo pamoja nawe.
@
@micahnzalawahe25985 years agoSishangai hawa hata harmonize huko nyuma walimwambiaga hajui kuimba. 2
@
@realremih4 years agoHamiss hamkumwelewa. nahisi hipo siku wataelewa mziki wake. ata kama hakushinda bss he won our hearts.
@
@aminakombo5825 years agoMasts j anamchukia sana khamisi labda kwakuwa alitukanwa mama akee.
@
@ibraimdauda87135 years agoMasts j aufai leo ukoapo kesho ujuii hii ni dunia.
@
@sakinahizza31325 years agoPole khamisi leo ndio mwisho wakufatilia haya mashindano.
@
@nadiaamisha29585 years agoMaster j ndo zake hata kwa harmonize alibana, hawa wanakua wamepanga mshindi wao. 1
@
@sisii3085 years agoWewe ndiye mshindi wetu bss sirudi tena kuangaliye. 1
@
@mohamedAli-vf8hp5 years agoMm ctaifatilia tena bss coz am there coz of hamisi master j ww cio jurge ww enda ukalime i swear.
@sulaymanwaziri44555 years agoMimi nilidhani mna saka vipaji, kumbe mnataguta mastaa! Sasa kama ni hivyo kwanini msiwachukue wakina, simba, kiba, konde, asley na wengine wengi maana hao ndio mastaa. 18
@
@theprogrammer33515 years agoMaster tu. Mwenye huruma naye hamfanyie donea aende chuo cha muziki kwanza, dogo kimuziki bado. Masterj upo hapo kikazi zaidi, big up broo.
@
@swaggerswagger84145 years agoJmn hamis mwenyew amkubl kutok maskin mnatbia mby nyie mnaanglia sura kiss amis anasur nzito km hamoniz amuwez kumtoa c o fear wcb mko wap ray van nakumbk mlitunz hamis mchukuen km harmoniz hajmchkua. 8
@
@balangdalaluamb65405 years agoMaster j tangu mwanzo tuu hamtakag hamis ana kisa nae alidai ametkaniwa mamaake na mashabik.
@
@balistakevike73715 years agoKiukwer hamis anaweza sema mastar j anamchukia mchizi namajaji hapo wanamsikiliza xana mastar j piga moyokonde hamisi utafika2 xafar yko? 3
@
@kevinvincentvincent87395 years agoWahamuzi mumehamuwa uyomtoto atoke sawa ulamungu anawahona. Wewe master jkunamajaji wengi waliwai kupita kablayako pia kilishafugwa mbinguninimatukiyo mawilisasa harmonaz pia ulimfanyiaivyo tunajuwa wewe unaroombaya kamanyoka ya edeni. ...Expand
@
@polotheboy70105 years agoDa? Kuna vitu vinauma kama kudanganywa kuwa hujui wakati unajua. 7
@
@ibraimdauda87135 years agoMuandae wenyewe alafu mumalize wenyewe, 5
@
@mahuluwarioba74665 years agoHamis don' t give up one day you will suceed be patient.
@
@deusdeodavid53605 years agoHajui kuimba bwna sema mnamuonea huruma tu. 29
@
@baranmohamedmbashir52995 years agoKwa mungu hakuna kisicho wezekana usikate tamaa hamsi mungu yuko moja na wewe.
Related videos for Wengi wamelia,wimbo alioimba HAMISI leo baada ya kutolewa bongo star search utakutoa machozi.:
lakini pia sisi watazamaji ni vema tukaelewa lengo la mashindano sasa hebu tuwe wakweli, hivi kwa hao walio bakia hapo ndani ni nani anafanana na khamis kwa uimbaji, uwezo wa sauti na hata stage performance?
hao ni wakali kuliko khamis. Hivyo kwa wanao sema hawataangalia bss tena ni sawa, ila kumbukeni pia hata hao walio bakia pia wana mashabiki wao, so watazamaji wataendelea kuwepo kibao tu!
khamis keep it up, maisha yanaendelea! Tutajua wewe haukuwa mshindani kama hautajaribu tena bss ijayo, na wakati huo hapa kati kabla ya hiyo bss ijayo kama ukiwa makini utaweza kufanya vitu vingi vikubwa. Kumbuka wewe bado ni kijana mdogo, hivyo bado una fursa kibao hata kama ni nje ya muziki. Hivyo tutakushangaa sana ukiendelea kukaa kaa tu nyumbani pasipo shughuli yoyote kama yalivyo kuwa maelezo yako wakati ulipo ingia katika mashindano haya!
ila mwisho, usiungane kabisa na wale wanao wasema majaji vibaya, ni vema ukawa na moyo wa shukurani, kwani unatoka bss tofauti kabisa na jinsi ulivyo ingia, hivyo waheshimu hao watu pia!. ...Expand
watanzanie wameona kipaji chako endelea kufight naamini utatoka tu. 1
nafatilia kipindi hiki nimetumia mb zangu kwajili ya hamis. 7
nahisi hipo siku wataelewa mziki wake.
ata kama hakushinda bss he won our hearts.